Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo watu wakaanza kupiga mayowe+ kwa sauti kubwa, na wengine kati ya waandishi wa chama cha Mafarisayo wakasimama na kuanza kushindana vikali, wakisema: “Sisi hatuoni kosa lolote katika mtu huyu;+ lakini ikiwa roho au malaika alisema naye,+ —.”

  • Matendo 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Niliona ameshtakiwa juu ya maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa hata jambo moja la kustahili kifo au vifungo.+

  • Matendo 25:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini mimi nikaona hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Kwa hiyo mwanamume huyu mwenyewe alipokata rufani+ kwa Mheshimiwa, niliamua kumpeleka.

  • Matendo 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini walipokuwa wakiondoka wakaanza kuongea wao kwa wao, wakisema: “Mtu huyu hafanyi lolote linalostahili kifo+ au vifungo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki