Mwanzo 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+ Mathayo 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+
16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+
10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+