5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+
2 “Na mataifa hakika yatauona uadilifu wako,+ Ee mwanamke,+ na wafalme wote utukufu wako.+ Na hakika wewe utaitwa kwa jina jipya,+ ambalo kinywa cha Yehova kitalichagua.