10 Na Paulo, wakati gavana alipomtolea ishara aseme, akajibu:
“Kwa kujua vema kwamba wewe umekuwa mwamuzi wa taifa hili kwa miaka mingi, mimi ninasema kwa utayari katika kujitetea+ juu ya mambo yanayonihusu mimi mwenyewe,
14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba, kulingana na ile njia wanayoiita ‘madhehebu,’ kwa namna hii mimi ninatoa utumishi mtakatifu kwa Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria+ na kuandikwa katika Manabii;