1 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko. 2 Timotheo 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+
17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu,+ kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa+ na mwaminifu katika Bwana; naye atawakumbusha ninyi njia zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.
13 Endelea kushika kielelezo cha maneno yenye afya+ uliyosikia kutoka kwangu pamoja na imani na upendo vinavyohusiana na Kristo Yesu.+