Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Halafu Musa akamwambia Haruni: “Nenda karibu na madhabahu, utoe toleo lako la dhambi+ na toleo lako la kuteketezwa, nawe ufanye upatanisho+ kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya nyumba yako; na utoe toleo la watu+ na kufanya upatanisho+ kwa ajili yao, kama vile Yehova alivyoamuru.”

  • Mambo ya Walawi 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Naye Haruni atamtoa yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi, aliye kwa ajili yake,+ naye atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mwenyewe+ na nyumba yake.+

  • Malaki 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki