Matendo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 nao wakawaweka mbele ya mitume, na, wakiisha kusali, hao wakaweka mikono+ yao juu yao. 1 Timotheo 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+
22 Usiweke kamwe mikono+ yako juu ya mtu yeyote haraka-haraka; wala usiwe mshiriki katika dhambi za wengine;+ jihifadhi ukiwa safi kiadili.+