Waroma 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+ Waebrania 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+ 1 Petro 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+
3 kwa maana, kwa sababu ya kukosa kujua uadilifu wa Mungu+ bali wakitafuta kujiwekea uadilifu wao wenyewe,+ hawakujitiisha kwa uadilifu wa Mungu.+
9 Zaidi ya hayo, tulikuwa na baba zetu wa mwili waliokuwa wakitutia nidhamu,+ nasi tulikuwa tukiwapa heshima. Kwa nini tusijitiishe zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+
17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+