Mambo ya Walawi 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova. Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+
16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.
9 Anayefunika makosa anatafuta upendo,+ naye anayeendelea kuongea juu ya jambo anawatenganisha watu wanaofahamiana.+