Tito 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu,+ lakini humkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza na wasiotii nao si wenye kukubalika+ kwa ajili ya kazi njema ya namna yoyote. 1 Yohana 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anayesema: “Mimi nimemjua,”+ na bado hashiki amri zake,+ ni mwongo, na kweli haimo ndani ya mtu huyo.+
16 Wao hutangaza hadharani kwamba wanamjua Mungu,+ lakini humkana kwa matendo yao,+ kwa sababu ni wenye kuchukiza na wasiotii nao si wenye kukubalika+ kwa ajili ya kazi njema ya namna yoyote.
4 Yeye anayesema: “Mimi nimemjua,”+ na bado hashiki amri zake,+ ni mwongo, na kweli haimo ndani ya mtu huyo.+