Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+

  • Mathayo 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+

  • Matendo 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na Yasoni amewakaribisha. Na watu wote hawa wanapingana na maagizo+ ya Kaisari, wakisema kuna mfalme+ mwingine, Yesu.”

  • Filemoni 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini pamoja na hayo, pia nitayarishie makao,+ kwa maana ninatumaini kwamba kupitia sala+ zenu nitawekwa huru+ kwa ajili yenu.

  • 1 Petro 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki