Mathayo 10:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+ Mathayo 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+ Matendo 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na Yasoni amewakaribisha. Na watu wote hawa wanapingana na maagizo+ ya Kaisari, wakisema kuna mfalme+ mwingine, Yesu.” Filemoni 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini pamoja na hayo, pia nitayarishie makao,+ kwa maana ninatumaini kwamba kupitia sala+ zenu nitawekwa huru+ kwa ajili yenu. 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
41 Anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ naye anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mtu mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu.+
35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+
7 na Yasoni amewakaribisha. Na watu wote hawa wanapingana na maagizo+ ya Kaisari, wakisema kuna mfalme+ mwingine, Yesu.”
22 Lakini pamoja na hayo, pia nitayarishie makao,+ kwa maana ninatumaini kwamba kupitia sala+ zenu nitawekwa huru+ kwa ajili yenu.