Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Waroma 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+ Tito 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+
13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+
16 Hivyo basi, haitegemei yule anayetaka wala yule anayekimbia, bali hutegemea Mungu,+ aliye na rehema.+
5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+