Ufunuo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ikisema: “Yale unayoona yaandike+ katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba,+ katika Efeso+ na katika Smirna+ na katika Pergamamu+ na katika Thiatira+ na katika Sardi+ na katika Filadelfia+ na katika Laodikia.”+
11 ikisema: “Yale unayoona yaandike+ katika kitabu cha kukunjwa kisha uyatume kwa yale makutaniko saba,+ katika Efeso+ na katika Smirna+ na katika Pergamamu+ na katika Thiatira+ na katika Sardi+ na katika Filadelfia+ na katika Laodikia.”+