16 Na katika siku ya tatu kulipokuwa asubuhi, mingurumo na umeme zikaanza kutokea,+ na wingu zito+ juu ya mlima na sauti kubwa sana ya pembe,+ hivi kwamba watu wote waliokuwa kambini wakaanza kutetemeka.+
5 Na umeme+ na sauti na ngurumo+ zinatoka katika kile kiti cha ufalme; na taa+ saba za moto zinawaka mbele ya kile kiti cha ufalme, na hizo zinamaanisha zile roho saba+ za Mungu.
19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni+ pakafunguliwa, na sanduku+ la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea umeme na sauti na ngurumo na tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.