Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na katika siku ya tatu kulipokuwa asubuhi, mingurumo na umeme zikaanza kutokea,+ na wingu zito+ juu ya mlima na sauti kubwa sana ya pembe,+ hivi kwamba watu wote waliokuwa kambini wakaanza kutetemeka.+

  • Ufunuo 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na umeme+ na sauti na ngurumo+ zinatoka katika kile kiti cha ufalme; na taa+ saba za moto zinawaka mbele ya kile kiti cha ufalme, na hizo zinamaanisha zile roho saba+ za Mungu.

  • Ufunuo 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na patakatifu pa hekalu la Mungu palipo mbinguni+ pakafunguliwa, na sanduku+ la agano lake likaonekana katika patakatifu pa hekalu lake.+ Na kukatokea umeme na sauti na ngurumo na tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki