10 wale wazee 24+ huanguka chini mbele za Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme na kumwabudu+ Yule anayeishi milele na milele, nao hutupa mataji yao mbele ya kile kiti, wakisema:
3 Nao wanaimba+ kana kwamba ni wimbo mpya+ mbele ya kile kiti cha ufalme na mbele ya wale viumbe hai wanne+ na wale wazee;+ na hakuna yeyote aliyeweza kujifunza kikamili wimbo ule ila wale 144,000,+ ambao wamenunuliwa+ kutoka duniani.