Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+

  • Ufunuo 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni+ Mkubwa ameanguka,+ yeye aliyeyafanya mataifa yote yanywe kutokana na divai+ ya hasira ya uasherati wake!”+

  • Ufunuo 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kuwa mataifa yote yameanguka yakiwa majeruhi kwa sababu ya divai ya hasira ya uasherati wake,+ na wafalme wa dunia walifanya uasherati+ naye, na wanabiashara+ wa dunia wanaosafiri walikuwa matajiri kutokana na nguvu za anasa yake isiyo na aibu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki