48 “Na mbingu na dunia na vyote vilivyomo hakika vitapiga vigelegele vya shangwe juu ya Babiloni,+ kwa maana waporaji watakuja kwake kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.
12 Kwa sababu hiyo furahini, enyi mbingu nanyi mnaokaa ndani yake!+ Ole+ wa dunia na wa bahari,+ kwa sababu Ibilisi ameshuka kwenu, akiwa na hasira kali, akijua kwamba ana kipindi kifupi cha wakati.”+