Mwanzo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini kuhusu mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile matunda yake, kwa maana siku utakapokula matunda yake hakika utakufa.”+ Mwanzo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+ 1 Wakorintho 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+
17 Lakini kuhusu mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile matunda yake, kwa maana siku utakapokula matunda yake hakika utakufa.”+
19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
22 Kwa maana kama vile katika Adamu wote wanakufa,+ vivyo hivyo pia katika Kristo wote watafanywa kuwa hai.+