Mwanzo 35:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Uhai wake ulipokuwa ukitoka (kwa kuwa alikuwa akifa), akamwita mwana huyo Ben-oni,* lakini baba yake akamwita Benjamini.*+ 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Mwanzo 42:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yakobo hakumruhusu Benjamini,+ ndugu ya Yosefu, aende pamoja na ndugu zake, kwa sababu alisema: “Huenda akapatwa na madhara na kufa.”+
18 Uhai wake ulipokuwa ukitoka (kwa kuwa alikuwa akifa), akamwita mwana huyo Ben-oni,* lakini baba yake akamwita Benjamini.*+ 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+
4 Lakini Yakobo hakumruhusu Benjamini,+ ndugu ya Yosefu, aende pamoja na ndugu zake, kwa sababu alisema: “Huenda akapatwa na madhara na kufa.”+