18 Uhai wake ulipokuwa ukitoka (kwa kuwa alikuwa akifa), akamwita mwana huyo Ben-oni,* lakini baba yake akamwita Benjamini.*+19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+
38 Lakini Yakobo akasema: “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa, naye amebaki peke yake.+ Akipatwa na madhara na kufia njiani, basi kwa hakika mtazishusha mvi zangu Kaburini*+ kwa huzuni.”+
20 Bwana wangu tukakuambia, ‘Tuna baba aliyezeeka na mtoto aliyemzaa uzeeni, yule mdogo.+ Lakini ndugu yake alikufa,+ kwa hiyo ndiye mwana pekee aliyebaki wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’