Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Uhai wake ulipokuwa ukitoka (kwa kuwa alikuwa akifa), akamwita mwana huyo Ben-oni,* lakini baba yake akamwita Benjamini.*+ 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+

  • Mwanzo 42:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini Yakobo akasema: “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa, naye amebaki peke yake.+ Akipatwa na madhara na kufia njiani, basi kwa hakika mtazishusha mvi zangu Kaburini*+ kwa huzuni.”+

  • Mwanzo 44:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Bwana wangu tukakuambia, ‘Tuna baba aliyezeeka na mtoto aliyemzaa uzeeni, yule mdogo.+ Lakini ndugu yake alikufa,+ kwa hiyo ndiye mwana pekee aliyebaki wa mama yake,+ na baba yake anampenda.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki