38 Lakini Yakobo akasema: “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi, kwa sababu ndugu yake amekufa, naye amebaki peke yake.+ Akipatwa na madhara na kufia njiani, basi kwa hakika mtazishusha mvi zangu Kaburini*+ kwa huzuni.”+
27 Kisha mtumwa wako baba yetu akatuambia, ‘Mnajua vizuri kwamba mke wangu alinizalia wana wawili tu.+28 Lakini mmoja wao aliniacha, nikasema: “Kwa hakika mnyama wa mwituni amemrarua vipandevipande!”+ nami sijamwona mpaka sasa.