Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndiyo sababu mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana* na mke wake, nao watakuwa mwili mmoja.+

  • Mwanzo 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baadaye, Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto usiku na kumwambia: “Wewe ni kama mtu aliyekufa kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemchukua,+ kwa maana ameolewa naye ni mke wa mwanamume mwingine.”+

  • Mwanzo 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Ninajua kwamba ulifanya jambo hili kwa moyo mnyoofu, kwa hiyo nilikuzuia usinitendee dhambi. Ndiyo sababu sikukuruhusu umguse.

  • Zaburi 51:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi, nabii Nathani alipokuja kwake baada ya Daudi kulala na Bath-sheba.+

  • Zaburi 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Dhidi yako wewe—wewe zaidi ya wote*—nimetenda dhambi;+

      Nimetenda yaliyo mabaya machoni pako.+

      Kwa hiyo, wewe ni mwadilifu unapoongea,

      Wewe ni mwenye haki katika hukumu yako.+

  • Marko 10:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake,+ 8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja,’+ basi wao si wawili tena, bali mwili mmoja.

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki