-
Mwanzo 20:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kisha Mungu wa kweli akamwambia katika ndoto: “Ninajua kwamba ulifanya jambo hili kwa moyo mnyoofu, kwa hiyo nilikuzuia usinitendee dhambi. Ndiyo sababu sikukuruhusu umguse.
-
-
Zaburi 51:utanguliziBiblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi, nabii Nathani alipokuja kwake baada ya Daudi kulala na Bath-sheba.+
-
-
Zaburi 51:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Kwa hiyo, wewe ni mwadilifu unapoongea,
Wewe ni mwenye haki katika hukumu yako.+
-