Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:2-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Tazama, nimemchagua* Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+ 3 Nitamjaza roho ya Mungu, na kumpa hekima, uelewaji, na ujuzi katika kila aina ya ufundi, 4 ili abuni kazi za usanii akitumia dhahabu, fedha, na shaba, 5 ili achonge na kupamba kwa mawe,+ na kutengeneza vifaa vya mbao vya kila aina.+

  • Kutoka 35:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Musa akawaambia Waisraeli: “Tazameni, Yehova amemchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+

  • Kutoka 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Bezaleli atafanya kazi pamoja na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi* ambaye Yehova amempa hekima na uelewaji ili kujua jinsi ya kufanya utumishi wote mtakatifu kama Yehova alivyoamuru.”+

  • Kutoka 37:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kisha Bezaleli+ akatengeneza sanduku la agano+ kwa mbao za mshita. Lilikuwa na urefu wa mikono miwili na nusu* na upana wa mkono mmoja na nusu na kimo cha mkono mmoja na nusu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ile madhabahu ya shaba+ ambayo Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru alikuwa ametengeneza ilikuwa imewekwa mbele ya hema la ibada la Yehova; na Sulemani na Waisraeli wote walikuwa wakisali mbele yake.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki