Kutoka 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Ee Yehova, niwie radhi, lakini sijawahi kuwa msemaji mwenye ufasaha, tangu zamani na hata baada ya wewe kuzungumza nami mtumishi wako, kwa maana mimi si msemaji mzuri* na ulimi wangu ni mzito.”+ Kutoka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Tazama! Waisraeli hawajanisikiliza,+ Farao atanisikilizaje mimi, mtu asiye na ufasaha?”*+
10 Sasa Musa akamwambia Yehova: “Ee Yehova, niwie radhi, lakini sijawahi kuwa msemaji mwenye ufasaha, tangu zamani na hata baada ya wewe kuzungumza nami mtumishi wako, kwa maana mimi si msemaji mzuri* na ulimi wangu ni mzito.”+
12 Lakini Musa akamwambia Yehova: “Tazama! Waisraeli hawajanisikiliza,+ Farao atanisikilizaje mimi, mtu asiye na ufasaha?”*+