Mwanzo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mimi nitalihukumu taifa watakalolitumikia,+ na baada ya hapo watatoka huko na mali nyingi.+ Kutoka 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitawafanya watu hawa wapate kibali machoni pa Wamisri, nanyi mtakapoondoka, hamtaondoka kamwe mikono mitupu.+ Kutoka 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa waambie watu kwamba wanaume wote na wanawake wote wanapaswa kuwaomba majirani wao vito vya fedha na dhahabu.”+ Zaburi 105:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Aliwatoa nje watu wake wakiwa na fedha na dhahabu;+Na hakuna yeyote katika makabila yake aliyejikwaa.
14 Lakini mimi nitalihukumu taifa watakalolitumikia,+ na baada ya hapo watatoka huko na mali nyingi.+
21 Nami nitawafanya watu hawa wapate kibali machoni pa Wamisri, nanyi mtakapoondoka, hamtaondoka kamwe mikono mitupu.+
2 Sasa waambie watu kwamba wanaume wote na wanawake wote wanapaswa kuwaomba majirani wao vito vya fedha na dhahabu.”+
37 Aliwatoa nje watu wake wakiwa na fedha na dhahabu;+Na hakuna yeyote katika makabila yake aliyejikwaa.