Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Mungu akamwambia Abramu: “Ujue kwa hakika kwamba wazao* wako watakuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo watawafanya kuwa watumwa na kuwatesa kwa miaka 400.+ 14 Lakini mimi nitalihukumu taifa watakalolitumikia,+ na baada ya hapo watatoka huko na mali nyingi.+

  • Kutoka 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa mimi mwenyewe nimesikia kilio cha uchungu cha Waisraeli, ambao Wamisri wanawatumikisha kama watumwa, nami ninakumbuka agano langu.+

  • Hesabu 20:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baba zetu walienda Misri,+ nasi tuliishi Misri kwa miaka mingi,*+ nao Wamisri walitutesa sisi na baba zetu.+ 16 Mwishowe tulimlilia Yehova,+ naye akasikia kilio chetu na kumtuma malaika;+ akatutoa Misri, na sasa tuko hapa Kadeshi, jiji linalopakana na eneo lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki