15 Baba zetu walienda Misri,+ nasi tuliishi Misri kwa miaka mingi,+ nao Wamisri walitutesa sisi na baba zetu.+ 16 Mwishowe tulimlilia Yehova,+ naye akasikia kilio chetu na kumtuma malaika;+ akatutoa Misri, na sasa tuko hapa Kadeshi, jiji linalopakana na eneo lako.