8 Akasema hivi kumhusu Lawi:+
“Thumimu yako na Urimu+ yako ni vya mtu aliye mshikamanifu kwako,+
Uliyemjaribu kule Masa.+
Ulianza kupambana naye karibu na maji ya Meriba,+
9 Mtu aliyemwambia baba yake na mama yake, ‘Sijawaheshimu.’
Hata ndugu zake hakuwatambua,+
Na watoto wake mwenyewe aliwapuuza.
Kwa maana walitii neno lako,
Na kulishika agano lako.+