Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:34-36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Chukua vipimo vinavyolingana vya manukato haya:+ matone ya natafi, shekelethi, kelbena yenye manukato, na ubani safi. 35 Yatumie kutengeneza uvumba;+ viungo hivyo vinapaswa kuchanganywa kwa ustadi,* vitiwe chumvi,+ viwe safi, na vitakatifu. 36 Utaponda baadhi ya viungo hivyo viwe unga laini na kuweka kiasi fulani mbele ya sanduku la Ushahidi katika hema la mkutano, mahali nitakapokutokea. Mchanganyiko huo unapaswa kuwa mtakatifu kabisa kwenu.

  • Ufunuo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwanakondoo, na kila mmoja alikuwa na kinubi na mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba. (Uvumba huo unamaanisha sala za watakatifu.)+

  • Ufunuo 8:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Malaika mwingine, akiwa ameshika chombo cha uvumba* cha dhahabu,+ akafika na kusimama kwenye madhabahu, naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu+ ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme. 4 Moshi wa uvumba kutoka kwenye mkono wa huyo malaika ukapanda pamoja na sala+ za watakatifu mbele za Mungu. 5 Lakini mara moja malaika huyo akachukua kile chombo cha uvumba, akakijaza moto kutoka kwenye madhabahu na kukitupa duniani. Kukatokea ngurumo na sauti na radi+ na tetemeko la ardhi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki