Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+

  • Waebrania 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tuna tumaini hilo+ kama nanga ya nafsi,* likiwa hakika na imara, nalo huingia ndani ya pazia,+

  • Waebrania 10:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, akina ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri* wa njia ya kuingia katika mahali patakatifu+ kwa damu ya Yesu, 20 aliyotufungulia* kuwa njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia,+ yaani, mwili wake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki