Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha chukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo, mafuta yaliyo juu ya ini, na figo zake mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe uchome moto vitu hivyo ili vifuke moshi juu ya madhabahu.+ 14 Lakini nyama ya ng’ombe dume huyo na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza nje ya kambi. Hiyo ni dhabihu ya dhambi.

  • Mambo ya Walawi 3:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa dhabihu kwa Yehova+ inayochomwa kwa moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo, 4 na figo zake mbili pamoja na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini.+

  • Mambo ya Walawi 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni lazima moto wa madhabahu uendelee kuwaka. Haupaswi kuzimika. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga dhabihu ya kuteketezwa juu yake, naye atateketeza mafuta ya dhabihu za ushirika ili yafuke moshi.+

  • Mambo ya Walawi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Haruni akaenda mara moja kwenye madhabahu na kumchinja yule ndama wa dhabihu ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe.+

  • Mambo ya Walawi 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Akateketeza mafuta na figo na mafuta yaliyo juu ya ini kutoka katika dhabihu ya dhambi ili vifuke moshi kwenye madhabahu, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki