10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, walichukua kila mmoja wao chetezo chake, wakaweka moto ndani yake na kutia uvumba.+ Wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ jambo ambalo hakuwaamuru wafanye. 2 Ndipo moto ukashuka kutoka kwa Yehova, ukawateketeza,+ wakafa mbele za Yehova.+