Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘“Mimi, Yehova, nimesema. Hivi ndivyo nitakavyoutendea umati huu wa watu waovu, ambao umekusanyika pamoja dhidi yangu: Wataishia humu nyikani, naam, watafia humu.+

  • Hesabu 16:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+ 2 Nao, pamoja na wanaume 250 Waisraeli, wakuu wa kusanyiko, wanaume maarufu waliowekwa rasmi wakaanza kumpinga Musa.

  • Hesabu 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kora alipokuwa amewakusanya watu wote waliomuunga mkono+ kwenye mlango wa hema la mkutano ili kumpinga Musa na Haruni, utukufu wa Yehova ukawatokea watu wote waliokusanyika.+

  • Hesabu 16:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisha moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na kuwateketeza wale wanaume 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki