16 Kisha Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaungana na Dathani na Abiramu wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wazao wa Rubeni.+ 2 Nao, pamoja na wanaume 250 Waisraeli, wakuu wa kusanyiko, wanaume maarufu waliowekwa rasmi wakaanza kumpinga Musa.