Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Haipaswi kuokwa pamoja na kitu chochote chenye chachu.+ Nimewapa liwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayochomwa kwa moto.+ Ni toleo takatifu kabisa,+ kama ilivyo dhabihu ya dhambi na dhabihu ya hatia.

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Mambo ya Walawi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kila mwanamume kuhani ataila,+ nayo inapaswa kuliwa mahali patakatifu. Ni dhabihu takatifu kabisa.+

  • Mambo ya Walawi 10:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe waliobaki, Eleazari na Ithamari: “Chukueni toleo la nafaka lililobaki kutoka katika dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mle toleo hilo karibu na madhabahu kama mkate usio na chachu,+ kwa sababu ni toleo takatifu kabisa.+ 13 Mtakula toleo hilo mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho yenu na posho ya wana wenu kutoka kwenye dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki