Kutoka 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+ Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+ Hesabu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hao ndio waliochaguliwa miongoni mwa Waisraeli. Hao ndio wakuu+ wa makabila ya baba zao, viongozi wa maelfu katika Israeli.”+
21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+
4 “Mchukueni mwanamume mmoja kutoka katika kila kabila, kila mmoja wao anapaswa kuwa kiongozi wa ukoo wake.*+
16 Hao ndio waliochaguliwa miongoni mwa Waisraeli. Hao ndio wakuu+ wa makabila ya baba zao, viongozi wa maelfu katika Israeli.”+