Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Eleazari alimzaa Finehasi;+ Finehasi akamzaa Abishua.

  • Ezra 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baada ya mambo hayo, wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Uajemi, Ezra*+ akarudi. Alikuwa mwana wa Seraya,+ mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,+

  • Ezra 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eleazari,+ mwana wa kuhani mkuu Haruni.+

  • Ezra 8:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi hawa ndio waliokuwa viongozi wa koo* na hii ndiyo orodha ya ukoo wa wale waliopanda pamoja nami kutoka Babiloni wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:+ 2 ukoo wa wana wa Finehasi,+ Gershomu; wa wana wa Ithamari,+ Danieli; wa wana wa Daudi, Hatushi;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki