-
Kumbukumbu la Torati 19:16-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akitoa ushahidi dhidi ya mtu na kumshtaki kwa kosa fulani,+ 17 watu hao wawili wanaozozana watasimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakihudumu wakati huo.+ 18 Waamuzi watachunguza jambo hilo kikamili,+ na ikiwa mtu huyo ni shahidi wa uwongo na ameleta shtaka la uwongo dhidi ya ndugu yake, 19 mnapaswa kumtendea kama alivyopanga kumtendea ndugu yake kwa hila,+ nanyi lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.+
-
-
Methali 6:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kuna vitu sita ambavyo Yehova anachukia;
Naam, vitu saba vinavyomchukiza:
-