Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ wazao wa Wanefili, tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona.”

  • Hesabu 14:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi Waisraeli wote wakalia kwa sauti na kutokwa na machozi usiku kucha.+ 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+

  • Hesabu 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Walipofika kwenye Bonde la Eshkoli+ na kuiona nchi hiyo, waliwavunja moyo Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo Yehova angewapa.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tunaenda mahali pa aina gani? Ndugu zetu walituvunja moyo*+ waliposema, “Watu hao wana nguvu zaidi na ni warefu zaidi kuliko sisi, na majiji yao ni makubwa na yana ngome zinazofika mbinguni,*+ na huko tuliwaona wana wa Waanaki.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki