21 Lakini unapaswa kuchagua miongoni mwa watu, wanaume wanaostahili,+ wanaomwogopa Mungu, wanaume wanaotegemeka, wanaochukia faida isiyo ya haki,+ nawe uwaweke kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa hamsini, na wakuu wa makumi.+
18 “Mnapaswa kuwaweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika majiji yenu yote ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, nao lazima wawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.