21Basi katika siku za Daudi kulikuwa na njaa kali+ kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akamwomba Yehova ushauri, kisha Yehova akasema: “Sauli na nyumba yake wana hatia ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”+
6 Usiruhusu kinywa chako kikufanye* utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika* kwamba nilikosea.+ Kwa nini umkasirishe Mungu wa kweli kwa yale unayosema hivi kwamba alazimike kuiharibu kazi ya mikono yako?+