Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+ 13 Lakini ikiwa alimuua bila kukusudia na Mungu wa kweli akaruhusu jambo hilo litokee, basi nitawaonyesha mahali anapoweza kukimbilia.+

  • Hesabu 35:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtatoa majiji matatu upande huu wa Yordani+ na majiji matatu katika nchi ya Kanaani+ ili yawe majiji ya makimbilio. 15 Majiji hayo sita yatakuwa majiji ya makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, kwa ajili ya wageni,+ na kwa ajili ya wahamiaji wanaoishi miongoni mwenu, ili mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wakati huo Musa alitenga majiji matatu upande wa mashariki wa Yordani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki