Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Naomi akamwambia binti mkwe wake: “Na abarikiwe na Yehova, ambaye hajawahi kamwe kukosa kuwatendea kwa upendo mshikamanifu walio hai na waliokufa.”+ Naomi akaendelea kusema: “Mwanamume huyo ni mtu wetu wa ukoo.+ Yeye ni kati ya watu wanaoweza kutukomboa.”*+

  • Ruthu 4:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Salmoni akamzaa Boazi; Boazi akamzaa Obedi; 22 Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+

  • Mathayo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+

      Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+

      Obedi akawa baba ya Yese;+

  • Luka 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

  • Luka 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 mwana wa Yese,+

      mwana wa Obedi,+

      mwana wa Boazi,+

      mwana wa Salmoni,+

      mwana wa Nashoni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki