-
Mathayo 1:2-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Abrahamu akawa baba ya Isaka;+
Isaka akawa baba ya Yakobo;+
Yakobo akawa baba ya Yuda+ na ndugu zake;
3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari;
Perezi akawa baba ya Hezroni;+
Hezroni akawa baba ya Ramu;+
4 Ramu akawa baba ya Aminadabu;
Aminadabu akawa baba ya Nashoni;+
Nashoni akawa baba ya Salmoni;
5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+
Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+
Obedi akawa baba ya Yese;+
6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+
Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;
-