Methali 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu anayeifanya shingo yake kuwa ngumu baada ya kukaripiwa sana+Atavunjwa kwa ghafla, naye hataweza kupona.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+
29 Mtu anayeifanya shingo yake kuwa ngumu baada ya kukaripiwa sana+Atavunjwa kwa ghafla, naye hataweza kupona.+
17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+