1 Samweli 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usitazame sura yake wala urefu wake,+ kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona, kwa maana mwanadamu huona kinachoonekana kwa macho, lakini Yehova huona ndani ya moyo.”+ Zaburi 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umeuchunguza moyo wangu, umenikagua wakati wa usiku;+Umenisafisha;+Utagundua kwamba sijapanga njama ya kutenda uovu wowote,Na kinywa changu hakijatenda dhambi.
7 Lakini Yehova akamwambia Samweli: “Usitazame sura yake wala urefu wake,+ kwa maana nimemkataa. Kwa kuwa Mungu haoni kama mwanadamu anavyoona, kwa maana mwanadamu huona kinachoonekana kwa macho, lakini Yehova huona ndani ya moyo.”+
3 Umeuchunguza moyo wangu, umenikagua wakati wa usiku;+Umenisafisha;+Utagundua kwamba sijapanga njama ya kutenda uovu wowote,Na kinywa changu hakijatenda dhambi.