Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kusema: “Kwa sababu mkono wa Waamaleki unapinga kiti cha ufalme cha Yah,+ Yehova atapigana vita na Waamaleki kizazi baada ya kizazi.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova Mungu wenu atakapokuwa amewapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa kuwa urithi ili mwimiliki,+ mnapaswa kuwaangamiza kabisa Waamaleki ili wasikumbukwe tena chini ya mbingu.+ Msisahau jambo hilo.

  • 1 Samweli 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, Sauli akamwambia Samweli: “Lakini nimeitii sauti ya Yehova! Nimefanya kazi ambayo Yehova alinituma nifanye, nikamleta Agagi mfalme wa Waamaleki na kuwaangamiza Waamaleki.+

  • 1 Samweli 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Daudi na wanaume wake walipofika Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ walikuwa wamevamia upande wa kusini* na pia Siklagi, nao walikuwa wameshambulia Siklagi na kuliteketeza kwa moto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki