1 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye Mungu akampa Sulemani hekima na utambuzi mwingi sana na moyo wenye uelewaji mwingi kama mchanga kwenye ufuo wa bahari.+ Methali 2:3-5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, ukiuita uelewaji kwa sauti+Na kupaza sauti yako upate utambuzi;+ 4 Ukiendelea kuutafuta kama fedha,*+Na kuendelea kuutafuta sana kama hazina zilizofichika;+ 5 Ndipo utakapoelewa kumwogopa Yehova,+Nawe utapata ujuzi kumhusu Mungu.+ Yakobo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+
29 Naye Mungu akampa Sulemani hekima na utambuzi mwingi sana na moyo wenye uelewaji mwingi kama mchanga kwenye ufuo wa bahari.+
3 Pia, ukiuita uelewaji kwa sauti+Na kupaza sauti yako upate utambuzi;+ 4 Ukiendelea kuutafuta kama fedha,*+Na kuendelea kuutafuta sana kama hazina zilizofichika;+ 5 Ndipo utakapoelewa kumwogopa Yehova,+Nawe utapata ujuzi kumhusu Mungu.+
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+