13 Pia Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na magari+ na Bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, nao wakaipeleka shaba hiyo Babiloni.+
17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono 18,*+ na kifuniko chake kilikuwa cha shaba; na urefu wa kifuniko hicho ulikuwa mikono mitatu, na wavu pamoja na makomamanga yote yaliyozunguka kifuniko yalitengenezwa kwa shaba.+ Nguzo ya pili pamoja na wavu wake ilifanana na ya kwanza.
15 Kisha akatengeneza nguzo mbili+ mbele ya nyumba hiyo, zenye urefu wa mikono 35, na kifuniko kilichokuwa juu ya kila nguzo kilikuwa na urefu wa mikono mitano.+
21 Kuhusu nguzo, kila nguzo ilikuwa na kimo cha mikono 18,* na kamba ya kupimia yenye urefu wa mikono 12 ingeweza kuizunguka;+ unene wake ulikuwa upana wa vidole vinne,* na ndani ilikuwa wazi.