Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ukiona maskini wakikandamizwa kwa njia yoyote ile na haki na uadilifu zikikiukwa katika wilaya yenu, usishangazwe na jambo hilo.+ Kwa maana ofisa huyo mkuu anatazamwa na yule aliye juu zaidi yake, na kuna wengine walio juu zaidi yao.

  • Mhubiri 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kuna jambo la ubatili* ambalo hutukia duniani: Kuna watu waadilifu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uovu,+ na kuna watu waovu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uadilifu.+ Nasema kwamba hili pia ni ubatili.

  • Habakuki 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Macho yako ni safi sana yasiweze kutazama uovu,

      Nawe huwezi kuvumilia uovu.+

      Basi, kwa nini unawavumilia wenye hila+

      Na kunyamaza mtu mwovu anapommeza mtu mwadilifu kuliko yeye?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki