Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mfalme Sulemani akatengeneza pia kundi la meli katika jiji la Esion-geberi,+ lililo kando ya Elothi, ufuoni mwa Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:35-37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Baada ya hayo Mfalme Yehoshafati wa Yuda akaungana na Mfalme Ahazia wa Israeli, aliyetenda uovu.+ 36 Kwa hiyo akashirikiana naye katika kutengeneza meli za kwenda Tarshishi,+ walizitengenezea kule Esion-geberi.+ 37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha alitoa unabii dhidi ya Yehoshafati, akisema: “Kwa sababu umeungana na Ahazia, Yehova ataharibu kazi zako.”+ Basi meli hizo zikavunjika,+ kwa hiyo hazikuweza kwenda Tarshishi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki