Hesabu 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Waisraeli walipiga kambi katika vituo vifuatavyo walipotoka nchini Misri+ kulingana na vikosi vyao*+ wakiongozwa na Musa na Haruni.+ Hesabu 33:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha wakaondoka Abrona na kupiga kambi Esion-geberi.+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ 1 Wafalme 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mfalme Sulemani akatengeneza pia kundi la meli katika jiji la Esion-geberi,+ lililo kando ya Elothi, ufuoni mwa Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+
33 Waisraeli walipiga kambi katika vituo vifuatavyo walipotoka nchini Misri+ kulingana na vikosi vyao*+ wakiongozwa na Musa na Haruni.+
8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
26 Mfalme Sulemani akatengeneza pia kundi la meli katika jiji la Esion-geberi,+ lililo kando ya Elothi, ufuoni mwa Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+